Loading...

Hizi ni sababu za Memphis Depay wa Man United kuto tumia jina la baba yake katika jezi…

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Winga mpya wa klabu ya Manchester United Memphis Depay ameingia kwenye headlines, kama ambavyo huwa ni kawaida kwa mastaa kuingia katika headlines za vyombo vya habari kutokana na maisha yao na uwezo wao uwanjani, safari hii winga huyo wa Kiholanzi ameingia kwenye headlines baada ya kugoma kutumia jina la baba yake.

memphis-depay
Memphis Depay mwenye umri wa miaka 21 amegoma kutumia jina la baba yake katika jezi yake anayovaa, siku zote imezoeleka kuona wachezaji wengi hupenda kutumia majina ya baba zao katika jezi au hata maofisini, ila hii ni tofauti kidogo kwa winga huyo, kwani amegoma kutumia jina la baba yake, kwa sababu alimuacha toka akiwa na umri wa miaka minne.
Memphis Depay
Baba yake kaomba msamaha kwa kosa hilo, Memphis bado hajajibu chochote ila baba yake alihojiwa na the sun na kumuomba mwanaye huyo wasahau mgawanyiko uliyokuwepo kati yake kwa miaka 17 iliyopita.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top