Loading...

Mdhamini mkuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara amekabidhi vifaa kwa timu shiriki

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Vilabu shiriki katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Septemba 2 ni siku ambayo mdhamini mkuu wa Ligi hiyo kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom imekabidhi vifaa kwa timu zote 16, zitakazo shiriki Ligi Kuu msimu huu. 


Kupitia kwa meneja masoko wa kampuni hiyo Kelvin Twissa wamekabidhi vifaa vyenye thamani ya jumla ya Tsh 490,000,000 mbele ya Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura.
IMG_20150902_112248
“Vodacom leo tuna furaha kubwa kukabidhi vifaa kwa ajili ya Ligi Kuu Vodacom ambayo itaanza Septemba 12 mwaka huu, tumesaini mkataba wa miaka mitatu ambao huu ndio wa kwanza, tumefurahi timu kuongezeka zimekuwa 16, hivyo kutakuwa na jumla ya mechi 240, tumetoa jezi soksi, shin guard, mipira”>>> Kelvin Twissa
IMG_20150902_113013
IMG_20150902_113110
IMG_20150902_113140
IMG_20150902_113240

>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top