Loading...

MAGUFULI;chagueni viongozi watakaoleta maendeleo na sio wadanganyifu

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..



Wananchi wilayani kahama mkoani shinyanga wameombwa kuwa makini katika kipindi hiki cha kampeni  za uchaguzi mkuu wa madiwani wabunge na rais   ili kuchagua viongozi watakaoleta maendeleo katika maeneo yao na Taifa kwa ujumla.

Wito huo umetolewa leo mjini kahama na  mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli katika mkutano wa kampeni zake uliofanyika katika viwanja vya milango kumi mjini humo.
Magufuli amesema katika kipindi hiki cha kampeni  baadhi ya wagombea wanatumia sera nyingi za udanganyifu kwa wananchi wao na ambazo kamwe hawawezi kuzitekeleza, hivyo kuwataka wananchi kutowachagua.
Magufuli amesema watanzania wamekuwa wakipotoshwa kuwa chama kilichopo madarakani hakijaleta maendeleo kwa watanzania bila kutazama maendeleo ya miundo mbinu kama barabara, maji na shule mbalimbali za msingi na sekondari zilizojengwa  na chama cha mapinduzi.
Ameongeza kuwa ndani ya CCM kuna baadhi ya viongozi ambao sio waadilifu wanaokichafua chama hicho, hivyo ameahidi kuleta mabadiliko katika chama hicho na maendeleo kwa wananchi huku akisisitiza kulinda umoja na amani ya nchi.
Mkoa wa shinyanga ni mkoa wa 15 kati ya mikoa ambayo Magufuli amefanya kampeni zake tangu kampeni hizo zilipozinduliwa, ambapo awali  kabla ya kufika mjini kahama amefanya kampeni katika jimbo la Ushetu wilayani kahama mkoani shinyanga.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top