Loading...

RIP Mama Celina Kombani…. ninayo taarifa kuhusu kuwasili kwa mwili wa marehemu Dar es Salaam

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..


.
 usiku wa September 24, 2015 taarifa ya Majonzi iliyosambaa na kuwafikia watu kupitia Vyombo mbalimbali vya Habari pamoja na mitandao ya Kijamii, Serikali ikathibitisha pia kuhusu msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mama Celina Kombani amefariki Dunia kutokana na maradhi ya Saratani.
Sasa leo Sept 25 ripota wa millardayo.com alipofika nyumbani kwa marehemu akakutana na Michael ambae ni ndugu wa karibu wa marehemu na kazungumza naye..‘Kwa kweli mgonjwa baada ya kura za maoni alirudi nyumbani Dar akasema amechoka tukajua kwamba ni malaria tukampeleka hospitali ya TMJ akapata vipimo ikasemakana kwamba ni malaria huku akiendelea na matibabu mpaka siku ya mwisho alipoelekea India kufanya check up tu kama mtu wa kawaida ili arudi hapa aendelee na kampeni’ Michael 
.
.
‘Ratiba ya mazishi bado haijakuwa sahihi lakini tunategemea kesho saa tisa na nusu mchana kuupokea mwili wa marehemu katika viwanja vya Airport Julius Nyerere ukitokea India, nakumbuka mara mwisho alikuwa ni mtu mwenye afya nzuri na wala hakuna mtu ambaye alitegemea katika leo litatokea hili, ameacha watoto watano (wakiume wane na wakike mmoja)’ Michael
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top