Loading...

Urais 2015: Warioba amfananisha Magufuli na Nyerere

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..


Aliyekuwa  Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji  Joseph Sinde Warioba amesema  kwamba Mgombea Urais wa CCM Dr. John Pombe Magufuli ni mtu muadilifu, Mchapakazi na Asiyekuwa na tamaa hivyo anazikaribia sifa za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Akizungumza na wananchi  kwenye  mkutano wa kampeni uliofanyika juzi mjini Bunda,  Warioba alisema Dr. Magufuli ndiye anayestahili kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kati ya wagombea nane kutoka vyama mbalimbali vilivosimamisha wagombea kwani mpaka kufika kwake hapo hakujatokana na fedha wala harufu ya fedha yeyote.

Alidai kuwa Vyama vya upinzani vilitakiwa kusimamisha wagombea wao wenyewe bila kuazima kutoka Chama cha Mapinduzi CCM jambo ambalo linawaondolea sifa za siasa zao za upinzani wa kweli nchini.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top