JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..
Mwaka 2015 unamalizika kwa Wasanii
kadhaa wa bongo movie na bongo fleva wakiwemo wa zamani na wa sasa
kuonyesha mali zao kama magari pamoja na nyumba wanazomiliki au
wanazozijenga.
Stori hii ninayotaka kukusogezea
inamuhusu Aunt Ezekiel ambae siku kadhaa zilizopita alikua kwenye
headlines kuhusiana na kusupport majukwaa ya kisiasa.
Aunty alipost picha ya gari lake jipya
kwenye instagram na kuandika kuwa gari hilo halijatokana na fedha za
kampeni ya chama chochote bali amezawadiwa na mpenzi wake ambaye ni
dancer wa Diamond Platnumz aitwae Moze Iyobo….’
Aunty aliandika >>> ‘My new bby, Thanks a million baba Cookie#kwauchaguzi mana hamchelewi, we ni zaidi ya kiboko yangu #birthdaypresent# mana hamchelewi kusema CCM #happyfamily’
>
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz







Post a Comment