JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Ameandika Maneno haya Kwenye Ukurasa wake wa Facebook:
|Hata Nyerere hakuwahi kujaribu kuleta Spika wake au Naibu Spika wake mfukoni. Alipomteua Chief Adam Sapi Mkwawa kuwa Waziri alifanyiwa rebellion na wabunge ( wakati wa chama kimoja) akamrudisha mpaka alipostaafu tena kwa kumtungia sheria ya ustaafu ( wakati wa Mwinyi).
|Hata Nyerere hakuwahi kujaribu kuleta Spika wake au Naibu Spika wake mfukoni. Alipomteua Chief Adam Sapi Mkwawa kuwa Waziri alifanyiwa rebellion na wabunge ( wakati wa chama kimoja) akamrudisha mpaka alipostaafu tena kwa kumtungia sheria ya ustaafu ( wakati wa Mwinyi).
Unapoona Rais anajaribu ku impose Kiongozi wa Bunge anayemtaka mjue huko
mbele Bunge litafanywa kibogoyo. Kwa mfano, hakuna Naibu Spika yeyote
katika nchi hii ambaye hakuwahi kuwa Mbunge wa Jimbo.
Nawakumbusha tu
kwamba; Bunge huendeshwa kwa kutumia Katiba, Sheria, Kanuni na DESTURI
au maamuzi yaliyokwishafanywa.
>
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz


Post a Comment