Loading...

Ushindi wa Goli 5-2 ukakamilishwa na jamaa kumvalisha pete Mchumba wake hapohapo Uwanjani

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles, John Ogu ameteka hisia za mashabiki wake baada ya kuamua kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Adaolisa.

Ogu anayecheza soka la kulipwa huko Israel katika klabu ya  Hapoel Be’er Sheva alifanya tendo hilo baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Maccabi Peteh ambapo waliondoka na ushindi wa mabao 5-2.
Mshambuliaji huyo alimwomba refa apulize filimbi kabla ya kumwita mpenzi wake katikati ya uwanja kisha akapiga goti na kumvalisha pete huku akishangiliwa na wachezaji wenzake.
Video iko hapa mtu wangu…
  petee      >
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top