JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Pichani:Mwenyekiti wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe akiwa na mgombea ubunge wa jimbo la Tabata Segerea Mohamed Mwikongi.
Kasi ya Wanasiasa kuzungumza na wapiga
kura wao kwa sasa ndiyo stori ambayo inazungumzwa karibu kila kona ya
Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii
kutoka kwa mwigizaji wa filamu Mohamed Mwikongi aka Frank ambaye
anagombea Ubunge jimbo la Tabata Segerea kupitia chama cha ACT-
Wazalendo, sasa Sept 13 alifanya mkutano wake wa kwanza wa kuzungumza na
wananchi wake katika jimbo hilo.

Wananchi
wakisilizaji kwa makini sera za mgombea Ubunge kupitia chama cha ACT-
Wazalendo, Mohamed ambaye ni mwigizaji wa filamu maarufu kama Frank.
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz










Post a Comment