JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..
SIKU Chache baada ya muigizaji wa siku nyingi,
Mahsein Awadhi Said ‘Dk. Cheni’ kutoa tamko juu ya kumuoa ‘mtoto mkubwa’
katika tasnia hiyo, Elizaberth Michael Kimemeta ‘Lulu’, binti huyo
mwenye mvuto amesema hakuna mtu wa kumzuia kuwa karibu na Dk. Cheni huku
akishikilia alichokisema…. “mambo yetu hayamhusu mtu”,
Waigizaji wa siku nyingi, Mahsein Awadhi Said ‘Dk. Cheni na Elizaberth Michael ‘Lulu’ wakiwa kwenye pozi.
Muda mfupi baada ya Dk. Cheni kusema haoni tatizo kwa kumuoa Lulu,
gazeti hili lilimtafuta msanii huyo kwa njia ya simu “Mtu anayesimama na
wewe wakati wa shida ndiye rafiki kwa kweli, Dk. Cheni amenisaidia pale
ambapo kila mtu alijitenga nami, kama kuna kinachoendelea kati yetu, ni
cha kwetu na mambo yetu,” alisema.
>
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz



Post a Comment