JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..
Kura iliyoharibika ni ile ambayo:
- Haina alama yoyote
- Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja
- Imeandikwa jina la mpiga kura
- Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea
- Haina muhuri wenye alama rasmi
Kura sahihi;
- Yenye alama ya ‘v’ kwenye kisanduku
- Yenye alama yoyote kwenye kisanduku/picha/ jina la mgombea
- Kutakuwa na utata endapo utaweka alama iliyopitiliza kisanduku cha mgombea mmoja na kufika kwa mwingine. Epuka kuharibu kura. Kura yako, mustakabali wako
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz



Post a Comment