JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..
Mgombea wa urais kupitia chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli amepiga kura asubuhi hii huko Chato mkoani Geita.
Baada ya zoezi la kupiga kura, Dr Magufuli aliulizwa na waandishi wa habari iwapo atakubaliana na matokeo kama itatokea akashindwa.
Katika majibu yake, Magufuli amejibu kwa kifupi kuwa Tusubiri matokeo yatangazwe.
Aidha, Dr. Magufuli aliulizwa jinsi alivyojipanga kama itatokea akashinda ambapo pia alijibu kwa kifupi kuwa tusubiri tutajionea mara baada ya kuapishwa
Baada ya zoezi la kupiga kura, Dr Magufuli aliulizwa na waandishi wa habari iwapo atakubaliana na matokeo kama itatokea akashindwa.
Katika majibu yake, Magufuli amejibu kwa kifupi kuwa Tusubiri matokeo yatangazwe.
Aidha, Dr. Magufuli aliulizwa jinsi alivyojipanga kama itatokea akashinda ambapo pia alijibu kwa kifupi kuwa tusubiri tutajionea mara baada ya kuapishwa
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz



Post a Comment