Loading...

UMEMUONA LOWASSA AKIPIGA KURA LEO HUKO MONDULI?? PICHA ZIKO HAPA ANGALIA

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Edward Lowassa amepiga kura, Monduli mkoani Arusha.Lowassa alipata nafasi ya kujibu maswali kadhaa ya waandishi ambao walitaka kujua kama atakuwa tayari kutakubali matokeo iwapo atashindwa.

Katika majibu yake, Lowassa amesema atakubali matokeo kama hayatachakachuliwa, vinginevyo hatakubali.

Waandishi pia walitaka maoni ya Lowassa kuhusu hukumu ya mahakama kukataza watu kukaa mita 200 baada ya kupiga kura.

Katika majibu yake, Lowassa amesema hali aliyoiona kituoni ni ya amani na utulivu hivyo hana maoni ya ziada kuhusu hukumu ya kukaa mita 200



>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top