Loading...

Rais Magufuli na Mkewe Wavutiwa na kipindi cha Clouds 360 mpaka Wameamua Kupiga Simu LIVE Studio....

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..


Rais John Magufuli na Mkewe, Mama Janeth leo amekuwa Rais wa kwanza Tanzania kupiga simu ya surprise moja kwa moja kwenye kituo cha runinga kama mtazamaji wa kawaida akichangia yaliyokuwa yanajadiliwa kwenye kipindi.

Magufuli amezungumza moja kwa moja na watangazaji wa kipindi cha ‘360’ cha Clouds TV akiwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya ikiwa ni pamoja na namna walivyochambua magazeti na mijdala mingine. Moja kati ya mijadala hiyo ilikuwa mjadala uliohusu ziara yake Benki Kuu.

Rais Magufuli pia aliisifu ‘Clouds Media Group’ kwa namna wanavyofanya kazi akiigusia tukio la ‘Malikia wa Nguvu’ lililolenga kutambua mchango wa wanawake nchini katika kuzitambua fursa na kuzifanyia kazi ipasavyo.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top