Loading...

WATUMISHI WATATU HALMASHAURI YA SIKONGWE WAFUKUZWA KAZI,WENGINE WAPEWA ONYO KALI

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

BARAZA la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora limewafukuza kazi watumishi watatu wa halmashauri hiyo huku mmoja akisubiri kufikishwa mahakamani na wengine nane wakipewa onyo kali.


Akitoa tarifa ya  uamuzi uliofikiwa na baraza hilo , Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya  Sikonge Peter Nzalalila amsema kwamba baraza hilo limefikia maamuzi hayo baada ya kamati iliyoundwa kufanya uchunguzi kubaini kuwepo kwa makosa mbalimbali ya kiutendaji .

Nzalalila ametaja baadhi ya tuhuma zilizokuwa zinawakabili watumishi hao kuwa ni  ameeleza kuwa  watumishi hao waliofukuzwa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo uzembe kuwa ni aliyekuwa Afisa Ushirika wa halmashauri hiyo Justin Kapufi, Afisa Sheria wa halmashauri Rebecca Liyanga na Mtendaji kata ya Kipanga Emmanuel Kalumay.

Aidha alisema Mweka Hazina wa halmashuri hiyo Evance Shimdoe na Mhasibu Richard Ndalo waliokuwa wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi

baraza hilo limejiridhisha pasipo shaka kuwa watumishi hao walifanya uzembe katika utendaji wao hivyo kupewa onyo kali.

Katika maamuzi hayo aliyekuwa Afisa Utumishi wa halmashauri hiyo Elly Aketch ambaye alikumbwa na rungu hilo na kusimamishwa kazi awali,Mwenyekiti alisema halmashauri inaandaa utaratibu wa mashataka ili
kufikishwa kizimbani kwa uzembe ulioisababishia hasara kubwa halmashauri hiyo.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top