Loading...

ASKOFU GWAJIMA AMUONYA ABDALAH BULEMBO NA CCM WAACHE KUMCHOKOZA MARA MOJA.....WAKIENDELEA ATAJIBU MAPIGO NA NCHI ITATIKISIKA

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..


Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Rev. Josephat Gwajima ametoa Onyo kali kwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM (taifa), bwana Abdallah Bulembo kwa kulitaja jina lake katika mkutano wa kampeni za CCM huko Singida.

Onyo hilo limetolewa jana na Askofu Gwajima mbele ya waumini wake huku akimtahadharisha Bulembo kuwa iwapo ataendelea, basi na yeye ataibuka kutoka mafichoni ili kujibu mashambulizi.


"Nakuonya Bulembo, uache kunitaja kwenye mikutano yenu ya kampeni.Ukiendelea kunitaja, nitapanda helkopta nikufuate huko huko ili nijibu mapigo. Sitakujibu peke yako, ntawajibu na waliokutuma.


"Nawatuma watu wa CCM mliopo kanisani kwangu mmwambie Bulembo aniache. Nikimjibu atasikitika.


"Nikiwajibu, utatoka moshi na hawatafungua macho. Ntawajibu wote na waliomtuma hadi nchi itatikisika."-Gwajima

Akiwa mkoani Singida kwenye mikutano ya kampeni za mgombea urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, Bulembo anadaiwa kumtuhumu Gwajima kwa kuandaa machafuko ili kuharibu amani ya nchi.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top