Loading...

HAPPY BIRTHDAY RAIS WETU JAKAYA MRISHO KIKWETE

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anamaliza kipindi cha utawala wake wa miaka kumi amefanya mambo mengi ya maendeleo na kustawisha hali ya uchumi na jamii ya Tanzania kadiri alivyoweza. Kama binadamu viongozi wengine, ameffanya juu chini kutekeleza alichohiahidi kwa wananachiwake tangu aingia mdarakani mwaka 2005. Baadhi ya mambo aliyoyafanya ni yafuatayo:

1. Ujenzi wa barabara za lami zaidi ya kilomita 17,000.
2. Kuchimba gesi asilia Mtwara na kuweka bomba hadi Dar. 3. Kuwapa kipaumbele wanawake kwenye uongozi kitaifa. 4. Kujenga madaraja kwenye mito mikubwa nchini. 5. Kujenga chuo kikuu cha Dodoma. 6. Kuleta mabasi ya mwendo kasi jijini Dar. 7. Kumleta Kocha wa Timu ya Taifa Stars, Marcio Maximo, na kumlipa mshahara.
8. Kuinua wasanii, wanamuziki na waigizaji nchini. HAPPY BIRTHDAY Rais Wetu Jakaya Misho Kikwete.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top