JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..
Kiungo huyo mwenye miaka 23
anarejea tena klabuni hapo baada ya miaka minne alipoelekea Juventus kwa ada ya
uhamisho wa paundi 1.5 mwaka 2012.
Pogba, ambaye amesaini
mkataba wa miaka mitano ameongeza kuwa ''hii ni klabu sahihi kwangu kupata
mafanikio ninayoyahitaji.''
Meneja wa Man U Jose
Mourinho amesema Pogba atakuwa muhimili mkubwa wa klabu hiyo kwa kipindi kirefu
kijacho.
United itailipa Juventus
ambao ni mabingwa wa Italia Euro 105 sambamba na Euro 5 ikiwa hii ikitegemea
kiwango chake kitakavyokuwa.
Pogba
aliyeisaidia Ufaransa wenyeji wa michuano ya Euro 2016 kufika fainali ameshinda
taji la Serie A katika miaka yote minne ndani ya klabu yake.
>
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by Lovetzz



Post a Comment