WAPENZI wanagombana, ndoa
zinavunjika na familia nyingi zipo kwenye msoto kwa sababu ya ubinafsi.
Tunazungumza mengi lakini ukweli ni kwamba endapo kila mmoja atafanikiwa
kuushinda ubinafasi, upendo utashamiri kila kona.
Loading...
RC MONGELLA ATOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA RAIS MAGUFULI MKOANI MWANZA.
Mkuu
wa Mkoa wa Mwanza, Mhe.John Mongella (kulia) akitoa taarifa ya ujio wa
Rais Magufuli mkoani Mwanza. Kushoto ni Katibu Tawala mkoani Mwanza,
CP.Clodwig Mtweve.
TCRA YAVIPIGA FAINI ITV, CLOUDS TV NA CLOUDS FM RADIO KWA KUKIUKA MAADILI YA UTANGAZAJI
MAMLAKA
ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevipa onyo na kuvipiga
faini vituo viwili vya televisheni na kimoja cha redio kwa kukiuka
maadili ya utangazaji.
POGBA ASAINI MKATABA WA MIAKA MITANO MAN U
Paul
Pogba amesema kuwa ni muda muafaka kurejea Old Trafford baada ya uhamisho wake
wa Paundi 89 ulioweka rekodi ya dunia kwenda Manchester United.