Loading...

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WALIVYOONYESHA MAPENZI YA DHATI KWA CCM, UWANJA WA FURAHISHA

> JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HAPA CHINI UPATE NAFASI..

JE WEWE UNA ELIMU YA KIDATO CHA NNE ?PATA AJIRA NA UJIONGEZEE KIPATO HADI LAKI 8 KWA MWEZI WAHI NAFASI NI CHACHE BOFYA HIYO PICHA HAPO JUU UPATE NAFASI.. ..LIKE PAGE !..

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wakazi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake katika uwanja wa Furahisha mapema jana kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni za CCM zilizohudhuriwa na Maelfu ya watu.

????????????????????????????????????
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa  Misungwi mkoani Mwanza  waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika wilayani humo wakati alipoomba kura za ndiyo kwa wananchi ili wamchague na kuwa rais wa Tanzania  katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu nchini kote ukishirikisha vyama vingi vya siasa

Dk. John Pombe Magufuli amefanya mikutano katika miji ya Mugu, Ngudu katika jimbo la Sumve na mji wa Misungwi katika wilaya ya Misungwi mkutano uliohudhuriwa na wananchi wengi huku wakikatiza hotuba ya mgombea huyo wakati walipokuwa wakiimba nyimbo  Rais, Rais, Ameongeza kwamba atahakikisha anaboresha kilimo cha Pamba na kuweka bei nzuri ya Pamba huku akiondoa ushuru usiokuwa wa lazima kwenye mazao ili wakulima wa zao hilo waweze kunufaika na kilimo chao.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-MISUNGWI)
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akihutubia wakazi wa mji wa katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika mjini Misungwi mkoani Mwanza leo.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano huo wa Kampeni za CCM uliofanyika mjini Misungwi mkoani Mwanza leo.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wagombea udiwani wa jimbo la Misungwi wakiwa katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaimbisha  wakazi wa mji wa  Misungwi mkoani Mwanza wakati wa mkutano wa kampenzi za CCM.
????????????????????????????????????
Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya CCM na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Alhaji Abdallah Bulembo akiwahutubia wananchi wa mji wa Misungwi kabla ya kumkaribisha Mgombea urais Dk. John Pombe Magufuli awahutunie wananchi.
????????????????????????????????????
Wasanii wa Teamstuka wakishuka jukwaani mara baada ya kufanya vitu vyao jukwaani kwa kumpigia debe Dk. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Mwigizaji Kajala Masanja akishuka jukwaani na wenzake.
????????????????????????????????????
Waigizaji hao wakisalimiana na Dk. John Pombe Magufuli mara baada ya kupiga debe katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Wakifanya vitu vyao jukwaani.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Msanii Malaika akitumbuiza katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa amekaa jukwaa kuu pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa mkutano huo kutoka kulia ni Katibu wa CCM Mwanza Miraji Mtaturu, Alhaji Abdallah Bulembo, Anthony Dialo mwenyekiti wa CCM Mwanza na kushoto ni Mh. Charles Kitwanga mgombea ubunge jimbo la Misungwi.
????????????????????????????????????
Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Ndugu Miraji Mtaturu akihutubia mkutano wa kampeni za CCM mjini Misungwi.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa  Ngudu jimbo la Sumve mkoani Mwanza.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wananchi wakimshangilia Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akihutubia wakazi wa mji wa  Ngudu  mkoani Mwanza
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wagombea ubunge wa majimbo ya Kwimba na Sumve  mkoani Mwanza kulia ni Richard Ndasa na  Mansoor Shanif katikati wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika mji wa Ngudu wilayani Kwimba.
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi waliomsimamisha katika mji wa Kisesa ili asalimiane nao. 
????????????????????????????????????
Mgombea ubunge wa jimbo la Magu Kiswaga Boniventura Destery akiwaomba kura wananchi wa mji wa Magu ili wampigie Dk. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa mji wa Magu leo.
????????????????????????????????????
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh. Magesa Mulongo kushoto na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mh. Baraka Konisaga wakifutrahia jambo wakati walipokuwa wakizungumza.
????????????????????????????????????
Huyu mama aliamua ktoka na taulo ili mradi aweze kumuona Dk. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mabatini wakati aliposimamishwa ili kuwasalimia.
????????????????????????????????????
wananchi wa Mabatini jijini Mwanza wakimshangilia Dk. John Pombe Magufuli.
>
JISHINDIE SAMSUNG GALAXY MPYA KABISA JAZA FOMU NA UTAPIGIWA SIMU PAPO HAPO BOFYA HAPO JUU,RUDIA KUBOFYA MPAKA UONE SIMU UNAPIGIWA =>

Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by Lovetzz

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WANAWAKE KWANZA | Modified By Zotekali WEB Exparts
Back To Top